Benki ya dunia yasema Kenya itashindwa kufikia malengo ya maendeleo ya milenia-by CRI
(GMT+08:00) 2013-05-09 11:12:23
Ripoti ya pamoja iliyotolewa na Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa IMF inaonesha kuwa malengo ya kuleta usawa wa kijinsia na kupunguza vifo vya watoto hayataweza kufikiwa kabla ya mwaka 2020. Bi Chandra amesema bado watu wengi hawana kazi zinazolipa mishahara mikubwa, ili kuwawezesha watu waishi na zaidi ya dola 1.25 kwa siku. Ameishauri serikali kuvutia uwekezaji zaidi katika sekta binafsi hasa kwenye sekta za uzalishaji na huduma.
No comments:
Post a Comment